الرقية الشرعية

Ruqya Ya Kisheriya


محاضرة باللغة السواحيلية، فيها الحديث عن الرقية الشرعية، وكيفية دخول الجن في الإنسان، وأفضل الطرق لإخراجه.
Mada hii inazungumzia ruqya ya kisheria na jinsi ya kutowa majini, na vipi jinni anaweza kumuingia mtu na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.