خطورة أكل الربا

KHATARI YA KULA RIBA


تكلم الخطيب في خطبته عن حكم الربا وأبوابه في الوقت الراهن، كما ذكر خطورته على الفرد والمجتمع.
Khutba hii inazungumzia uhatari wakula riba na milango ya riba na adhabu za mla riba na uharamu wa kuwekeza katika mabenki ya riba na namna wanavyo patwa watu na vumbi la riba,na adhabu za mla riba.