البحث

عبارات مقترحة:

المحسن

كلمة (المحسن) في اللغة اسم فاعل من الإحسان، وهو إما بمعنى إحسان...

الجواد

كلمة (الجواد) في اللغة صفة مشبهة على وزن (فَعال) وهو الكريم...

الوتر

كلمة (الوِتر) في اللغة صفة مشبهة باسم الفاعل، ومعناها الفرد،...

Uhatari Na Upotevu Wa Mashia

السواحلية - Kiswahili

المؤلف Qasim Mafuta ، Abubakari Shabani Rukonkwa
القسم دروس ومحاضرات
النوع صوتي
اللغة السواحلية - Kiswahili
المفردات الفرق المنتسبة للإسلام
1- Mada hii inazungumzia: Uhatari na potofu la kishia, imezungumzia historia fupi ya Mtume (S.a.w) na Maswahaba wake (R.a) 2- Mada hii inazungumzia: Namna mayahudi wa Madina walivyoungana katika vita ya Ahzab, na makabila yaliyoritadi, inazungumzia pia historia ya Makhalifa waongofu kwa ufupi, na huo ndio mwanzo wa kupatatikana Mshia. 3- Mada hii inazungumzia: Chanzo cha fitina za myahudi Abdillahi Bin Sabaa, inazungumzia pia itikadi potofu za Mashia kwamba Qur’an ilibadilishwa. 4- Mada hii inazungumzia: Udanganyifu wa Mashia wa kutumia "taqiyya" inazungumzia pia uhalisia wa namna Qur’an ilivyo kusanywa na Othman Bin Afaan (R.a). 5- Mada hii inazungumzia: Namna Mashia wanavyojiweka karibu na waislamu ili waonekane ni waislam na hali siyo waislam, Mashia na Mayahudi ni sawa na wote ni maadui wa uislam. 6- Mada hii inazungumzia: Maswali na majibu ya darsa zima la uhatari na upotofu wa Mashia, ambapo swali la kwanza: ni vipi Abdillahi Bin Sabaa alishindwa kueneza fitina katika mji wa Madina?.

المرفقات

6

Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 1
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 2
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 3
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 4
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 5
Uhatari Na Upotevu Wa Mashia 6