آداب الأكل

Adabu Za Kula Chakula


محاضرة باللغة السواحيلية، وفيها بيان ما يلي:<br /> • أحكام البسملة في الأكل.<br /> • حكم الجهر بالبسملة عند الأكل، وحكم تركها عند الأكل.<br /> • آداب الأكل، وحكم لعق الأصابع بعد الأكل وفضله.<br /> • كراهية أكل الطعام الحار، وكراهية النفخ في الطعام، وكذا عيب الطعام، وحكم الأكل باليمين.
• Mada hii inazunguzia Sunna Adabu za chakula na tofauti zao katika kupata rizki na hukumu za bismilahi katika kula.<br /> • Mada hii inazunguzia Adabu za kula na hukumu ya kudhihirisha bismilahi,na hukumu ya kuacha bismilahi.<br /> • Mada hii inazunguzia Adabu za kula chakula na hukumu ya kulamba chakula na ubora wake.<br /> • Mada hii inazunguzia Adabu za chakula,makatazo zakula chakula cha moto,na kupuliza chakula,nakukitia aibu chakula,nakula kwa mkono wa kulia.